Nikajua unataka kutupia nyavu ndo opener hiyo baharia mwenzangu
ππ[emoji38][emoji38][emoji38]
Khaaaaaa
[emoji174][emoji276]
Check hai leta πββοΈπββοΈLook up ze skai end say bye bye[emoji38][emoji38][emoji38]
Check hai leta [emoji2089][emoji2089]
Hahaha mbusiii we[emoji38][emoji38][emoji38]
Okeee, you will handle the lest
πNakaziaπ
Acha kabisa inasikitisha sana aseeKuna vitu Kuna ishu Mwanaume hutakiwi kabisa kuzijua Wala kuzifanya.
Kwamfano Mimi mambo ya Birthday siyajui kabisa Hata Tarehe ya kuzaliwa natamani Ingefutika kabisa KICHWANI.
Mwanaume MZIMA unasherekea.
Haya ni mambo ya Wanawake.
AMA KWELI WANAUME TUNAPUNGUA KWA KASI KUBWA SANA.
Oyaa weeeehThanks much Chalii angu
Ww ni mwema sana
Nakukunda ππ
#Tutafanikisha πππππ₯
πππHappy birthday cute
π€£π€£π€£π€£Me najuaga dimples za mashavuni tu, kumbe kuna hadi za kwenye wezere?
Ndio nafahamu leo hii
Nasubiri ruhusa yake, akikubali nikuonyeshe hizo dimples zake
Mdudu wa chuga π€£Depal ndo mdudu gani
Aisee πππ hadi ww. Nuzu mbulu πIshi maisha marefu kipenzi kama bibi kidude
Oooza Waseme maharage njegereKwa hiyo ulijua kabisa dadako sina hata mia ya kukununulia kamvinyo[emoji485]sio??
Anyway unajua dadako nakupenda hivyo hivyo na maringo yako[emoji3590]
Nakutakia maisha yenye mafanikio makubwa kwenye nyanja zote za kimaisha, zaidi sana upate maheraaa nikija A town tuishi[emoji12]
HBD mrembo wangu@Depal[emoji512][emoji1635]