Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto umezaliwa leo na ujanja-janja mwingi 😂Huku nilipo Posta hawana ofisi 😎
Em niache nikanyonyeMtoto umezaliwa leo na ujanja-janja mwingi 😂
Enjoy ur day Beautiful 😍Em niache nikanyonye
Kula mboga za majani kwa sanaThioniii
Mtoto ana jicho hilo,
Pisi kali imekamilika kila idaraMtoto ana jicho hilo,
Dimpoz Mashallah
Kapua kadogo utadhani havuti hewa
Rangi mnyoosho, haisikii tabu za ulimwengu
Sikio lenye kukubali hereni mpaka mabangili
Nywele fupi zinampendeza, zisizo kipilipili
Shingo nyoofu inayokubali cheni za kila aina
*****, Naomba namba aisee
Tako limo?Pisi kali imekamilika kila idara
Na jinsi anavyokua ndio anazidi kuwa mrembo 🥰
Namba njoo nikupe
Page!!!! 😂😂😂😂😂😂Mtoto ana jicho hilo,
Dimpoz Mashallah
Kapua kadogo utadhani havuti hewa
Rangi mnyoosho, haisikii tabu za ulimwengu
Sikio lenye kukubali hereni mpaka mabangili
Nywele fupi zinampendeza, zisizo kipilipili
Shingo nyoofu inayokubali cheni za kila aina
Mamaeee, Naomba namba aisee
Kama lote na guu la biaTako limo?
Unadanganya wenzako 😂😂Kama lote na guu la bia
Uongo sio jadi yangu unajua 😂Unadanganya wenzako 😂😂
Subiri wakuombe pichaUongo sio jadi yangu unajua 😂
Sawa ntampa Lenie anikute palm village saa 10 jioni