Happy birthday Freeman Aikael Mbowe

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mwamba tuvushe...
20230914_081348.jpg
 
Nakushukuru kwa kila kitu na Mungu akuzidishie , wewe ni zawadi kutoka kwa Mungu , na wala hakuna maneno ya kutosha ya kukuelezea , tunachoweza kufanya ni kumshukuru tu Mungu kwa zawadi hii kwa Watanzania .

Screenshot_2023-09-14-12-05-20-1.png
 
Happy Birthday Freeman Aikaeli Mbowe.

Kwetu tunamfahamu kama mwana wa Mwalimu Nyerere.
 
Hbday mwamba,
Whozu akae pembeni kidogo leo ni zamu ya Mwamba
 
Back
Top Bottom