Happy birthday Hazard fc

Happy birthday Hazard fc

hivi inakuwaje watu wanajua birthday za wenzao? au ni double id??
Unadhani humu watu wote hatujuwani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha, mimi ni mzuri kwenye kusoma mistari na kuitafsiri.

Niishie kukwambia tu kwamba hii post ni tofauti na ukweli.

Nothing personal.
Hongera kwa ilo, ila nikwambie kidogo tu, Febr. of this year nilikuwa kwa birthday ya my first born. May be I'm not of your age ndio maana unawaza hivyo, niko full of time table hivyo sina mda wa kutafuta watu. Mtaani sijawamaliza sembuse jf.
Watch very =Anglia sana (just a joke)
 
Nini mbaya wakuu? Hahahaha
Hongera kwa ilo, ila nikwambie kidogo tu, Febr. of this year nilikuwa kwa birthday ya my first born. May be I'm not of your age ndio maana unawaza hivyo, niko full of time table hivyo sina mda wa kutafuta watu. Mtaani sijawamaliza sembuse jf.
Watch very =Anglia sana (just a joke)
Sister usinifanyie hivyo, kuna mtu anataka kugusa interest zangu kwa joanah.
 
Hongera kwa ilo, ila nikwambie kidogo tu, Febr. of this year nilikuwa kwa birthday ya my first born. May be I'm not of your age ndio maana unawaza hivyo, niko full of time table hivyo sina mda wa kutafuta watu. Mtaani sijawamaliza sembuse jf.
Watch very =Anglia sana (just a joke)

Your first born! Conglat.

Kuna point umeimiss nilipozungumzia swala la competitors, nilikuwa very general ila umai-narrow kwenye issue za kutafutana. Anyway, mara nyingi tunafanya interpretation kwa kubase mawazo na mazingira.

Just chill, mimi nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom