Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mam hahaha nilitegemea wew uwe wa kwanza....asanteee ukitoka town nishtue basiDear son, you are like a prince to us. May you have a great year and glorious life ahead. We are always with you. I wish you a very Happy Birthday.
Mambo ya kula keki wakati sukari imeadimika ni ufisadi. Hebu songeni ugali mkubwaaa, mi nakuja na dagaa mchele wa was kukaangwa, tengenezeni kachumbari kabisa, pilipili nyingiiiiiiii
20th Jan....utakumbuka sijuiHahahahaa... yako lini dear??
Nakuja faster na box la wineUkija na hivi cake tunaweka pembeni.
Kwanza cake za nini wakati Heineken zipo za kutosha
Kuna wakati unapo kuwa mkubwa unaweza kuwaza mengi na ukawasahau chanzo cha wewe kuwepo dunianiAsante mamiii kwa kukumbukaa....
Uziandae za kutosha hapo ujiji babe,mnywaji anakujaaaaaa
Kama ulikwepoo mkuuuMambo ya kula keki wakati sukari imeadimika ni ufisadi. Hebu songeni ugali mkubwaaa, mi nakuja na dagaa mchele wa was kukaangwa, tengenezeni kachumbari kabisa, pilipili nyingiiiiiiii
Hakikaa mkuu....Kuna wakati unapo kuwa mkubwa unaweza kuwaza mengi na ukawasahau chanzo cha wewe kuwepo duniani
Itumie siku yako ya leo kukaa karibu na wazazi kama walivyo tumia muda mwingi kuhakikisha unazaliwa salama na mazingira rafiki
kheri ya kuwepo duniani
Na Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele
Bahati za vipi kiongozi?Ambao hatujawahi pata bahati za hivi tuzidi kujitahidi kuomba omba Mungu #covid19 iishe
Ya kukumbukwaBahati za vipi kiongozi?
Shulrani mkuuHeri ya siku ya kuzali mkuu.