Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Happy birthday mpendwa
Heaven Sent
Heaven Sent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa!! Kwakweli wale panya wangu wamekula kapu la mama looote!![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hahahaa...! Wewe unataka kesi na shangazi zako sasa..? [emoji3][emoji3]
"KUJISHUSHA" Msingi wa mengi uliopuuzwa.Penye faida ni muhimu kushukuru.Kiburi hakijengi,kujishusha ndio chanzo cha furaha na mafanikio yasiyo na kikomo.
andjul ukuje demi huyu hapa.Happy birthday mpendwa
Heaven Sent
Ahsante mammyHappy birthday mpendwa
Heaven Sent
Habari ya majukumu mamaangu[emoji120] [emoji120]Alinimiss au?
Alikuwa haishi kukutaja.Alinimiss au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Habari ya majukumu mamaangu[emoji120] [emoji120]
Ahsante Mungu kwa ujio wako,Ngoda alikukumbuka sana.
Imebidi niingie kwenye maombi ya kukutafuta popote ulipo,aliye juu hashindwi kitu hatimaye amejibu maombi yetu.
Nakutakia sikukuu njema ya basidei ya Heaven sent[emoji120] [emoji120]
Ha haaaa huyu Ngoda95 mbona napishana nae maeneo lkn haniambii km amenikumbuka?Habari ya majukumu mamaangu[emoji120] [emoji120]
Ahsante Mungu kwa ujio wako,Ngoda alikukumbuka sana.
Imebidi niingie kwenye maombi ya kukutafuta popote ulipo,aliye juu hashindwi kitu hatimaye amejibu maombi yetu.
Nakutakia sikukuu njema ya basidei ya Heaven sent[emoji120] [emoji120]
Jamani jamaniii...Alikuwa haishi kukutaja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani jamaniii...
Mimi nimemtaja mara [emoji111] tu
Aliye kuwa amekumisimo sana ni espy,mimi nakumbuka mara ya mwisho tulikutana kulee tukiwa na BAK. Ngoda95 ametuhakikishia leo kuwa upo na umefungua darasa la ukungwi.Yaani eti wewe,amesema Ngoda95 kuwa wewe ni kungwi eti,mimi hata nilikuwa sijui... Nikashangaa tu...Ha haaaa huyu Ngoda95 mbona napishana nae maeneo lkn haniambii km amenikumbuka?
Haya nashukuru kwa kumisiwa hivyo. Xmas njema nawe pia my dear.
Makubwa haya? Tangu lini??? Mi mwenyewe hapa nahitaji kungwiNgoda kasema siku hizi umekuwa kungwi.
Duh...we Ngoda95 come here utoe maelezo[emoji23][emoji23][emoji23]Aliye kuwa amekumisimo sana ni espy,mimi nakumbuka mara ya mwisho tulikutana kulee tukiwa na BAK. Ngoda95 ametuhakikishia leo kuwa upo na umefungua darasa la ukungwi.Yaani eti wewe,amesema Ngoda95 kuwa wewe ni kungwi eti,mimi hata nilikuwa sijui... Nikashangaa tu...
Ngoda alivyo mbishi sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona umemuuzia kesi ngoda!!
[emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eti anaona aibu.