Happy Birthday Heaven Sent

Happy Birthday Heaven Sent

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoda hawezi kuusahau mpambano ule.Kwa sasa nimekuwa mbaba wa kuitikia "aamen" au "haleluyaa" kila niambiwalo na wife.Maisha yanaenda bila hata kutumia grisi
Haha haha Yaani wewe hunishindi mimi siku hizi hata mipira ya MAN U napishana nayo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wabeijing walikinukisha mnoo!!
 
Haha haha walitutengeneza mnoo.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] demi akanisababishia niwe najihami tu, kila nikimuona wife yuko busy na simu najua Hapa najibiwa Mimi kunako jukwaaa [emoji119] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoda hawezi kuusahau mpambano ule.Kwa sasa nimekuwa mbaba wa kuitikia "aamen" au "haleluyaa" kila niambiwalo na wife.Maisha yanaenda bila hata kutumia grisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo si ndio hayo sasa!
 
Mkutano uliendeshwa kibabe hadi ukaathiri mwenendo wa familia. Yaani kila ukiona mwenzio katulia na simu una hisi ndo yaaale ya demi au Nalendwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
demi sijui kapotelea wapi jamani!!!
 
HBD mama, sijachelewa sana....Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako[emoji8]
 
Haha haha walitutengeneza mnoo.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] demi akanisababishia niwe najihami tu, kila nikimuona wife yuko busy na simu najua Hapa najibiwa Mimi kunako jukwaaa [emoji119] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Beijing hoyeeee!
 
Mkwe na changu usisahau.
052b6d7e25d13d86deee62adee650593.jpg


Ready to be parked.

Huwa sitanii mimi..! Nakileta mwenyewe
 
Back
Top Bottom