Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,216
- 1,680
Happy birthday
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I love you my beibeWacha weee!
Na akirudi utampokeaYaani sio kwa pata potea hii!! Zikimuishia ndio anarudi mikono nyuma kama mtu vile!! Muache tu atatutambua akirudi,labda asirudi.
Tulizana!I love you my beibe
You are not late dear. Thanks muchHappy birthday Heaven Sent hope sijachelewa, be Blessed "
Thank you dearHappy birthday
Nimekumbuka ule mkutano wa Beijing hahaHahahaaa!! Alikimbia kwenda kuyajenga, chezea beijing wewe!!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] mwehuAsante sana. Tumbo lishabarikiwa, piga goti ombea na mifuko sasa.
Thanks much mrs msomaliHappy bday Heaven Sent,Mungu aendelee kukuongezea busara maa
Hahah haha kuna kila dalili kwamba "mambo" yalijengeka sio kwa kuadimika kule. [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wale "Mabeijing" hawawezekani. [emoji125] [emoji125] [emoji12] [emoji119]Hahahaaa!! Alikimbia kwenda kuyajenga, chezea beijing wewe!!
Kiruuuu!Asante sana. Tumbo lishabarikiwa, piga goti ombea na mifuko sasa.
We naweeeee!! Utaniulia kaka zangu, hadi huku upo[emoji134] [emoji134] [emoji134]I love you my beibe
Sijui katuroga yule!!!Na akirudi utampokea
Stuka my kaka hapo sio kabisaaaa!!Tulizana!
Tuko wangapi?
Hayo mahaba ni ili nitume m-pesa sio?!
Hahahaaaa!! Kwakweli ule mkutano ulikuwa sio wa mchezo mchezo.Nimekumbuka ule mkutano wa Beijing haha
We shaurilo, mifuko ikituna nisikuone.[emoji13] [emoji13] [emoji13] mwehu
Yaani ile siku khaaah!! Tulikuwa tunapokezana tu, akichoka mmoja anakuja mwingine. Mtu anatoka huko alikotokea anatukana hata hajui kinachoendelea.Hahah haha kuna kila dalili kwamba "mambo" yalijengeka sio kwa kuadimika kule. [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wale "Mabeijing" hawawezekani. [emoji125] [emoji125] [emoji12] [emoji119]
Hiyo kiruuu ya kichaga kabisa haahahaa!!Kiruuuu!
Ngoja nianze sasa kupiga goti ili mifuko ifurike.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoda hawezi kuusahau mpambano ule.Kwa sasa nimekuwa mbaba wa kuitikia "aamen" au "haleluyaa" kila niambiwalo na wife.Maisha yanaenda bila hata kutumia grisiHahahaaa!! Alikimbia kwenda kuyajenga, chezea beijing wewe!!