Happy Birthday Heaven Sent

Happy Birthday Heaven Sent

[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... july kulikua na sherehe hiI za waroma..sijui komunio..bas my friend akanialika mtoto wa kakake anakomunika..nikamwambia twende[emoji16][emoji16][emoji16]..akagoma goma.nikasema twende kuna bia[emoji23]ndo kukubali ..uwiiii anafika pale anasema ukute nimeletwa kwenye sherehe ya mtoto wa mchepuko[emoji23][emoji23][emoji23]maana baba mtu alikuja nipokea akanitaja na jina heheheh alisimamisha masikio had shereh inaishaaa[emoji23][emoji23]maskini kaka mtu (baba wa mtot akawa anatupa care fulan mara nyagi mara nyama ila mume anakula huku anatikisa kichwa..akichek mshikaj anatazamika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..mwe nitapauka kwakwel ngoja niendelee kujinyenyekeza kwa kicho!
Ndo ukaage ndani tu kama mwali sasa, atakuja atuulie wanaume wetu na wivu wake khaa
 
Chivu%201221-043948.jpg
 
Back
Top Bottom