Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Nilivyokumiss sasa... ndaga nkamuHappy Birthday [emoji324][emoji512][emoji320][emoji323][emoji322] Beautiful.... More life More blessings
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyokumiss sasa... ndaga nkamuHappy Birthday [emoji324][emoji512][emoji320][emoji323][emoji322] Beautiful.... More life More blessings
Ndo ukaage ndani tu kama mwali sasa, atakuja atuulie wanaume wetu na wivu wake khaa[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... july kulikua na sherehe hiI za waroma..sijui komunio..bas my friend akanialika mtoto wa kakake anakomunika..nikamwambia twende[emoji16][emoji16][emoji16]..akagoma goma.nikasema twende kuna bia[emoji23]ndo kukubali ..uwiiii anafika pale anasema ukute nimeletwa kwenye sherehe ya mtoto wa mchepuko[emoji23][emoji23][emoji23]maana baba mtu alikuja nipokea akanitaja na jina heheheh alisimamisha masikio had shereh inaishaaa[emoji23][emoji23]maskini kaka mtu (baba wa mtot akawa anatupa care fulan mara nyagi mara nyama ila mume anakula huku anatikisa kichwa..akichek mshikaj anatazamika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..mwe nitapauka kwakwel ngoja niendelee kujinyenyekeza kwa kicho!
Umemissiwa pia, big times 🤦🤦... tupunguze ubusy hivyo!!! Hiyo cake nibakizie nitapita hapoNilivyokumiss sasa... ndaga nkamu
Umepotelea wapi?
Mie nipooo..
Niko poa kabisaaa, habari za huko duniani jamani
Once again happy birthday H.S
Umemissiwa pia, big times [emoji1751][emoji1751]... tupunguze ubusy hivyo!!! Hiyo cake nibakizie nitapita hapo
Mwezi amazing sana lolAcha tu T ake. Si unajua huu mwezi ulivyo cuurazy!, busy in, busy out..
Sakayo umeadimika kishenzi.Happy birthday mrembo!
Tunashukuru Mungu, na kukuona pia.
Na habari za huko duniani?!
Sakayo umeadimika kishenzi.
Kwenye mchongo wa keki nishtue.Nipo hapa mimi jamani..
Navizia keki
Sawa jiraniKwenye mchongo wa keki nishtue.
Nishawatumia vipande vyenuKwenye mchongo wa keki nishtue.
Sawa jirani
Acha mshana hajambo kabisa kwenye sekta hii naona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana mrs mshana
Acha mshana hajambo kabisa kwenye sekta hii naona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]