ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hahahahahahaha!!!!........kwako Eli79 hapana aiseee! utanipa presha za vikombe kila siku bora nicheze na wazee vijana niwe kama legend.
Hahaha. everlenk unakataa kuwa Alexis mara hii. Utatupia zaidi ya ishirini kwa msimu huu tu..hata Thierry hakutupia hivyo..hem kuja huku uwe striker wangu tutupiemo..lol
Last edited by a moderator: