Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Note: TUNAAMINI UTARUDI TENA MADARAKANI..
CHADEMA mtamkumbuka sana na bado Magufuli ana miaka 8 amebakisha na ataongezewa mingine 10 na hakuna kufanya siasa mpaka kipindi cha uchaguzi mkileta fyoko fyoko chamoto mtakiona
yaani we acha tu!!Daaah..! Kweli vyuma vimekaza..! Yaani mpaka kikwete leo anaonekana mtu mzuri..! Huyu ndo rais aliyetukanwa zaidi kuliko marais wote waliopita na hata huyu wa sasa...
View attachment 603703
Tarehe kama ya leo Octoba 7,1951 alizaliwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete. Hongera sana mzee Kikwete
.......lakini umetuachia donge watanzania
Tutakukumbuka daima kwa mazuri uliyotutendea
Kwa hiyo unatakaje,hilo linahusiana vipi na mada,halafu kumkosoa mtu sio kumtukana,nadhani pia unajiona ulivyo mnafiki
ulimtukana sana huyu