[emoji3][emoji3] mwaka huu walisherekeaUnique wapi ww mna birthday za Msimu...[emoji23][emoji23] poleni
21 january
Ni Wachache Sana tumezaliwa 21 JANUARY takwimu zinasema21 january
Haha na mwakani pia au siioo
Mwakani hapana, naskia ni kila baada ya miaka mi4 sjuihahaaHaha na mwakani pia au siioo
Yes shure vp yako lini au na ww ni season to season?
Hahahaa yangu ipo miaka yote, ilikua last week 11th March.Yes shure vp yako lini au na ww ni season to season?
mimi pia 25 Feb, kusema kweli tupo wachache sana sijuhi hii tarehe ina tatizo gani?
Itabid wanasayansi wafanye tafitmimi pia 25 Feb, kusema kweli tupo wachache sana sijuhi hii tarehe ina tatizo gani?
Hivi mkuu ulishawahi ku-google watu maarufu waliozaliwa 25 Feb ? Wengi ni watngazaji wa tv, waigizaji sinema na wanasema sanaa ndiyo kazi yetu....sasa mimi sipo kwenye sanaa na huwa najiuliza labda ndio maana sifanikiwi?
Nikweli mkuu wengi ndio fani zao japo kua mim sikohuko. Nafikr sababu tuko waongowaongo sana ndoamana mambo yasanaa tunayamuduHivi mkuu ulishawahi ku-google watu maarufu waliozaliwa 25 Feb ? Wengi ni watngazaji wa tv, waigizaji sinema na wanasema sanaa ndiyo kazi yetu....sasa mimi sipo kwenye sanaa na huwa najiuliza labda ndio maana sifanikiwi?
Tuko pamoja16 april