Tungekua twinsTumepishana siku moja yangu 12March
Sent using [emoji106]
MIMI PIA AUGUST 14ona sasa umechelewa mpaka tumepishana masaa.Uvivu wako wakutoka umesababisha yote hayo.
August 14
February 7Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
hahhaaaaaaa tarehe yako ni siku ya wajinga duniani duuu1st April
Hii tarehe mbona Kama nipo peke anguπππππππFebruary 7
16 March tupo pamoja!Pacha wangu
16/march
16 March tupo pamoja!16 March, Hivi wale wa 29 Feb na utamaduni wa kusherehekea bday mnafanyaje kweny mwaka mfupi
16 March tupo pamoja!Mmmh seems march 16 nlizaliwa pekeangu. Dah unique me
16 March tupo pamoja!16 march...