Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha we Valle. Mbona wiki iliyopita hujanitafuta mpaka nimekata mwenyewe bonge la keki?August 17
Tumepishana siku mbili mkuu. Ulitangulia kidoogo, labda b mkubwa wako alizidiwa na uchungu kiasi😊😊Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
Haha tumepishana siku moja. Mi 17/0818/8
Hii logic iko wazi hakuna cha kushangaa hapo..Chukua mwaka uliozaliwa jumlisha na miaka yako mpaka sasa utapata 2020.
Mfano :-1990+30=2020
Hii hutokea kila baada ya miaka1000
PoaHii logic iko wazi hakuna cha kushangaa hapo..
Hongera tulitoka siku mojaNovember 21
Sasa usiniambie keki ushamaliza maana nitalia sasahivi. Nakudai kipande changu cha keki pachaHaha we Valle. Mbona wiki iliyopita hujanitafuta mpaka nimekata mwenyewe bonge la keki?
Ila this time and for the first time iliangukia jumatatu[emoji4][emoji4]
Nitakuandalia cake nzima next time na si kipande. Utafurahi na moyo wako twinSasa usiniambie keki ushamaliza maana nitalia sasahivi. Nakudai kipande changu cha keki pacha
Promise?Nitakuandalia cake nzima next time na si kipande. Utafurahi na moyo wako twin
Heri ya siku ya kuzaliwa kamandaNext Saturday
August 22
Today is my birthday, and by God, I shall treat myself like a King. even if it's just for one day. I feel deep within my heart that this special day is going to mark the beginning of a wonderful year for me. Happy birthday to me. I just want to thank God for keeping me alive to see this special day of mine.Next Saturday
August 22
Asante sanaaHeri ya siku ya kuzaliwa kamanda
Bro tupo wote hapo20 nov