Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

Watu wakiwa kabla ya 25 wanapenda kutaja umri zao, wakishafika 25, wanakuwa wagumu kutaja, ila wakifika tena 60 wamakuwa happy kutaja, kabla hata hawajaulizwa...

Kwanini inakuwa hivo???
 
Mie ilikuwa nizaliwe 30 February. Nikaona isiwe tabu, nikambembeleza mama, nikamhonga na hela kiduchu akanileta duniani January 21.

I love you Mama.

Babu is my twin

Grandpa/Granddaughter Birthday.......:violin:
 
mimi ndio nimemkosa kidogo, 31st march. anyway, still lookin for my twin bro au sis. cc Chocs

Karibu sana my twin...mie ilikua saa 0040's...yani masaa tu...lol..kidogo ingekuwa 31 march
 
Mimi tarehe 21 june,natarajia kupata pacha humu,yeyote aliezaliwa tarehe na mwezi huo anakaribishwa
 
Natafuta pacha wangu aliyezaliwa tarehe hii ya leo 25 Jan. Happybirth day mimi.
 
Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members’ kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.

Mimi, August 15.


28th december
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…