Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bingo!!!!!!!!!
Mentor kuja pande hii ufanye upembuzi yakinifu. Yale mambo yetu nashindwa yaelewa kwa huyu pacha wa babu. Yuu knoo woram seyyying???
ooow oooow........kumbe Mentor ni pacha wangu........tar 28/01 ndio kamanda nilitua.......night kali mbaya kabisa........


Heheheheh hapo nimekuacha! mimi niko bize na mai twini Preta...
Halafu babu nahisi ulilifahamu hili ila hukutaka kuniambia nimekuachia kina Munkari et al...siku hiyo itakuwa mimi na pachaa ngu TU!
View attachment 132875
View attachment 132875
TWIN hebu kam zis wei tubonge...
Sisi hao......hakyamama sijawahi kukutana na pacha wangu......he!....ni kweli......?
Unajua hata mimi siamini nimeshituka kama hao mapacha kwa hii pic!
Habari za Yaeda chini pacha!?? Lini unahamia Yaeda juu maana huko mafuriko yasijekupitia!!!
WTH!???? ndo wapi huko.
unajua kuna sredi ya zamani nilisoma inasema wewe ni al-shabaab....😛ray:
Mimi ni mMongolia twin......mbona kila mtu anajua.........
wait a minute...i think i know what you mean!!!
Heheheheh hapo nimekuacha! mimi niko bize na mai twini Preta...
Halafu babu nahisi ulilifahamu hili ila hukutaka kuniambia nimekuachia kina Munkari et al...siku hiyo itakuwa mimi na pachaa ngu TU!
View attachment 132875
View attachment 132875
TWIN hebu kam zis wei tubonge...
Pacha wa Babu Asprin.
Lol itabidi tutafutane na babu asprin maana wazee tunajuana...