Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Oktoba 21,1980 alizaliwa mwanamuziki ambaye ni mmoja wa waasisi wa bongo fleva, Juma Kasim 'Nature'. Juma Nature ni mwanamziki bora sana wa wakati wake ambaye anapendwa kwa wapenzi wote wa muziki wa bongo fleva waliomjua na wanaomjua
Juma Nature alitamba na nyimbo kama Hakuna kulala, Mzee wa busara, Ugali, Mugambo, Mtoto Iddi na nyingine nyingi sana.
Happy Birthday "Kibra Matata" Juma Kassimu Nature
Juma Nature alitamba na nyimbo kama Hakuna kulala, Mzee wa busara, Ugali, Mugambo, Mtoto Iddi na nyingine nyingi sana.
Happy Birthday "Kibra Matata" Juma Kassimu Nature