Happy birthday kaka yangu Paka Mweusi

Sasa mbona nawekewa vikwazo mapema sana?

Hilo tu kaka lisikupe hofu, hata Ibrahimu alimwita Sara mke wake dada wakati walipokuwa wameenda Misri. Manake aliogopa kuuawa na Wamisri kwa sababu ya uzuri wa Sara.
 
Hilo tu kaka lisikupe hofu, hata Ibrahimu alimwita Sara mke wake dada wakati walipokuwa wameenda Misri. Manake aliogopa kuuawa na Wamisri kwa sababu ya uzuri wa Sara.



Sasa hapa we unamuogopa nani?Si unitendee haki tu.....:amen:
 
Sasa hapa we unamuogopa nani?Si unitendee haki tu.....:amen:

Wamisri na huku si wapo? Naogopa kuchinjwa, lakini ukweli si unaujua?? Kausha basi PM!
 
Hongera Black cat! mungu akuzidishie miaka ya kuishi hadi ushindwe kutembea, vituuu viwe vinatoa ndani na kukurudisha ila siku moja wakusahau nje unyeshewe na mvua hadi ukome! Happy Birth day 2 uuuuuu!!!!!!!!!
 
Hahahahahaahahahah,wakija nitapigana nao mpaka tone la mwisho la damu yangu....

Mmmm, mtu mwenyewe mtoto utaweza kupigana kweli. Si watakurusha tu kwa mkono mmoja.
 
Hongera Black cat! mungu akuzidishie miaka ya kuishi hadi ushindwe kutembea, vituuu viwe vinatoa ndani na kukurudisha ila siku moja wakusahau nje unyeshewe na mvua hadi ukome! Happy Birth day 2 uuuuuu!!!!!!!!!




Mh....! Na wajukuu wa siku hizi hawa...!!!
 
Hongera kwa kuongeza mwaka katika maisha yako
Uishi miaka mingi mpaka ubadilike rangi uwe Mweupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…