Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Happy Birthday to you Khantwe oyaa chaliifrancisco kumbe una dada humu mbona hujaniambia ndugu yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy Birthday to You.
kakitoroka maana ake katakuwa dhaifu kama jina lake
imagine mtu anajiita kachalii eti kachalii
kama utafuga kiben10 nitakakata masikio
Happy Birthday to you Khantwe oyaa chaliifrancisco kumbe una dada humu mbona hujaniambia ndugu yangu?
Thanks twin....HBD to you too Twin.
Miss uSaengil chukahamnida unnie,
Saranghaeyo [emoji8]
Thanks twin...HBD to you too.bila sister yangu Khantwe kwa kweli nilikuwa nishajisahau
na wewe chaliifrancisco maneno yote haya kumuandikia dada yangu ili iweje acha zako wewe
Mzigua90 mi nipo singo siku hizi hapa nakuwinda wewe tu
wewe unaniita shemeji sijui kwa nani
oyaaa weee kwa aibu zangu zote leo nimezaliwa
happy birthday to us
mh RRONDO sister Khantwe and me
Thanks lil' sister
Thanks chalii,appreciated.
Thanks twin....HBD to you too Twin.
kawa msichana au anajiaibisha tuTu ben 10 ndio habari ya mjini huoni bi Sandra kawa msichana
kawa msichana au anajiaibisha tu
mi sitaki nikikuona na katoto mimi nikashindwa kumtambulisha shemeji yangu kwa rafiki zangu
maana kakiwa kadogo nitashindwa kuvumilia aibu
Huyu mtoto huwa namzimia sana, ebu ngoja nitafute neno zuri la kumuandikia siku hii ya muhimu sana kwake....
Kifo tu ndio kitatutenganishaAsante pacha. Siku nyingi sijakuona nikajua umenitoroka umeenda kukata keki peke yako
Zawadi tayari nepi nimekutumia kule PM...tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12]Haha bae wa mimi bhana..mi nikajua unatafuta zawadi kumbe neno
kawe kadogo ketuHahaha basi usijali kaka haka ka chalii kataendelea kuwa kadogo ketu au hata hiyo hutaki?
Hahaha.. Mimi masai bana utapata ng'ombe zakutoshahaka ka chaliifrancisco hakataki kuja kujitambulisha kwa hiyo mwambie akitaka maziwa lazima afuge ng'ombe
mambo ya nini nifuge ng'ombe wakati nataka maziwa tu hapa haipo
nipo siriazi sana
Hili tutaliongea baadae
Yumo ka mkubwa. Tatizo siku hizi na wewe umekuwa adimu sana sijui umefichwa wapiHappy Birthday to you Khantwe oyaa chaliifrancisco kumbe una dada humu mbona hujaniambia ndugu yangu?