Happy birthday kimey!

Happy birthday kimey!

Hommie unatimiza valuu na vice of no reason ngapi vile leo????
 
hapy b to u!!! x 2
hapy birthday dear wangu x 2 :clap2:
karibu ktka ulimwengu mpya nitakufundisha yote ya ulimwengu.
Thanx my Love the nurse! Dag nakuahidi ntakua mwanafunzi wako mwaminifu!
 
Happy Birthday Kimey.....pole kwa jana mwanangu mpenzi...aunt anajua soma nyota eeh....lol
Have fun today,long live with abundance of love and blessings from our almighty God.......cheers!
Khe Kheee Kheeee nataka niongelee jana ila nitaharibu Bday halafu na wewe ujue kutangulia sio kufika mlifikiri zile 4 ndio mlikuwa mmemaliza
 
Happy Birthday Kimey.....pole kwa jana mwanangu mpenzi...aunt anajua soma nyota eeh....lol
Have fun today,long live with abundance of love and blessings from our almighty God.......cheers!
Hahaha Thanx Michelle! Mi ya jana hata cyajui nilikua tumboni mwa mama! Lol!
 
Mungi akuzidishie miaka mingine mingi yenye heri na fanaka
 
Mpwa naona kuna habari ya wikileaks hapa sasa hapo inabidi uwe na uhakika na presha yako kwanza...
Hii ni kwa mujibu wa intelijensia yangu mwenyewe na si ya mdogo wangu afande MWEMA!
 
Mchakato unaendelea broda, na ndo niko kwenye hatua za mwisho kuikamilisha!
Tegemea majibu soon, lakini kwa kukudokezea tu ni kwamba huyu m-bidada sasa hivi ameanzisha mawasiliano ya karibu na MTM!, JAMBO AMBALO LINAMUUMA SANA kIMMEY!
Yesu wangu, mnaongelea nini hapa? mdada gani?
 
nimegundua kuwa MASLAHI YANGU HALISI piijeei ameyaweka rehani
 
Hakyanani sikubali, yani nasemwa halafu mnanipotezea... Pijei, nimeshabuku chumba Arachuga... jioni freedom kwa supu ya kongoro mazee, nazichanga nije na n'tu wangu mwenyewe fide
 
on a serious note nahitaji kuombwa msamaha
 
kuna vimbwa vitano nimevtuma apo sumr ebu kavichek saa 7 vtakuw avmewasili apo
 
on a serious note nahitaji kuombwa msamaha

no way!...

lakin i am warning you,not to temper with ''maslahi yangu'',if you temper with it anyhow...I WILL REVENGE
 
Back
Top Bottom