Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapendwa sana kwasababu ni mmoja katika watu wachache wanaokuja na true ID zao, pia anaswaga za aina yake.Sijawahi kujua ni kwa nini Lemutuz anachukiwa humu.
siyo tatu ni tano maamae. Six wasted decades on planet earthLe Fala HBD,,,
Huyu babu kapunguza mvua tatu wallah
ana ID fake kibao humu mbili nazifaham kuna Jingalao na Holly grailAnapendwa sana kwasababu ni mmoja katika watu wachache wanaokuja na true ID zao, pia anaswaga za aina yake.
Humu hachukiwi, anachukiwa Insta na Mange[emoji28]Sijawahi kujua ni kwa nini Lemutuz anachukiwa humu.
Le mutuz anapendwa sana humu watu huwa wanamchokoza tu kuburudisha kijiweSijawahi kujua ni kwa nini Lemutuz anachukiwa humu.
Hahaha hawamjui le mutuz hawaana ID fake kibao humu mbili nazifaham kuna Jingalao na Holly grail
Eti umri wake ni sawa na nyumba za pale kariakoo..Teh Teh legadem mstaafu.Gadem.....
Hivi ulijuana nae US au hapa hapa JF au TZ?Dah...Le Mutuz anafaidi sana...
Najua unamkubali sana huyu jamaa
Itakuwa ngumu mkuu kwa umri wake na maisha yakek
kwa hiyo unabidi kumueshimu le mutuz.View attachment 360213HAPPYBIRTHDAY MY KING ALL SOCIAL MEDIA.
SWISSME
kumbe bado ni chalii tu....HDBHongera le mutuz Kwa kutumiza miaka 55,leo jumamosi ya tarehe 25.06.2016
Najua unamkubali sana huyu jamaa