Happy birthday Le-mutuz

Happy birthday Le-mutuz

Huyu si amezaliwa 1956, mbona mnampunguzia umri?
 
Ifike kipindi birthday celebration zi-expire hasa miaka 55
 
Hongera le mutuz Kwa kutumiza miaka 55,leo jumamosi ya tarehe 25.06.2016
FB_IMG_1463209753977.jpg




happy born day braza....................le mutuz
 
Alikuwa akisema yeye ni mdogo kuliko mhe. Mbowe ingawa wamekuwa marafiki tangu zamani lakini naona ni agemate.
 
Nafwazzzz....
U know I'm super humbled.... 55 gademu years,kama huna heshima huwezi fika huku.Asante sir God.
Naimajini majigambo ya le mutuz baada ya kuexist kwa five and half good decades.
Happy birth day akili kubwaz
 
Aisee.....!! 55 Fulani amazing! Hiyo Ni age yake au experience katika social media???
 
Eti lembebezz ni mdananda alivyotoka usa baby kuna mama anaduka la fenicha hapo mitaa y namanga.....alimlea kma mwez akijua jamaa yuko njema na jamaa kila cku anakula haachi hata kodi y meza.....mama ikijua jina la malecela ni kubwa le mbebez yuko loaded kumbe karudi na 500$.....wabongo ni kwere kwa kupekua
haha haaa hata mm nmeisikia hiyo somewhere,halafu mwili wa Lemutuz unaweza ukadhani wakina Mengi na Bakhresa wanasubiri sana
 
Back
Top Bottom