Happy Birthday Madamu Samia Suluhu Hasani

Happy Birthday Madamu Samia Suluhu Hasani

Mnapata wapi nguvu y kufurahia huku taifa likiwa GIZANI?. Hakika kila cku nasema huyu KIZIMKAZI Hana muda na watanganyika.
 
Hatuji ng'o, bora tukose hizo koneksheni
Kwa wakazi wa dar es salaam shuguli itaanzia pale the wave mida ya saa tano asubuhi na baada ya hapo tutakuwa tunaelekea MBUDYA.

Kwa kweli kama kijana unahitaji kupata koneksheni kukutana na watu tofauti si ya kukosa hii.

Mdogo wangu spencer minja atakuwepo kutoa maelekezo mawasiliano unaweza kumfikia kwa mitandao yake ya kijamii.
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuongeza mwaka juu ya uso wa dunia.❤️
 
Back
Top Bottom