Hakuna namna Mkuu[emoji23] Dah!Usemacho kina ukweli ndani yake....[emoji1787][emoji1787]
Owke tujifariji kwa kusema "tumewaoa KWA AJILI YA MAISHA " na si "nanihii...kwao" ha ha ha TUJIFARIJI TU mkuu....
Hatutaki id mpyaaa mpyaa
Sheria namba moja [emoji23]
Eee halaf Haya mambo ya mahusiano hutokea tu bila kutarajiaKumbe na wewe una utaratibu huo? Unakuta mtu ana new ID halafu anajua mambo ya humu kibao!
Na nyani ngabuMahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekane
Na nyani ngabu
Teh teh pale sinza mlipokulia yule mzee hajulikani kabila lake?Hakuna mtu anajua kabila langu humu JF
Amini nakwambia, mi najua vilugha vingi humu TZ
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Multiple IDs au?Na wewe wote yaan
Gwajima anakuangalia tu kwa mbaaali, wanaliwa hao wanakondoo balaa, Hao wapiga vinanda na Gitaa la solo oweeeHahhahahahha...Life is not fair.
Kutokuchapiwa inabidi mke awe mlokole tu [emoji23][emoji23][emoji23]...Hawa wa Digitali ni noma.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Comment allez vous?Oui, je parle les francais! Kidogo lakini
Ni hisia TU mkuu
💩Multiple IDs au?
Je veux couvrir le fossé du smart911, qu'en pensez-vous?Oui, je parle les francais! Kidogo lakini
SawaaaAmekataa mahondaw
Kikweli kweli na vinabond hatariiii....Watu wananyanduana humu Mkuu CHAKARIKA!
Hujakosea!!Ila sijasahau mkono wako niliowahi kuuona humu. Mkono bomba sana na wenye mikono kama ule wanakuwa bomba sana.
Hujakosea!!
Veuillez reculer de la femme que j'aime le plusJe veux couvrir le fossé du smart911, qu'en pensez-vous?