katoto kazuri atakuwishi ana undugu na Unique Flower kwa HIO utachagua WeweMimi mbona siku yangu ya kuzaliwa sikumbukwi? Au ubaguzi? ๐๐๐
Sasa ushamba wetu ni nini? Kama yeye kaamuwa kujifanya ni watu wawili, sisi tunakuwaje washamba?Acheni ushamba huyo ni mtu mmoja.
Sijali..!Hii imeandikwa na mwalimu wa lugha, siyo smart mwenyewe!
๐ ๐ ๐ hizi sasa unatafuta nongwaMbona huyo Mahondaw haongei?
Ya kwako lini๐คธHeri ya kuzaliwa kwa manywele...
Lucas Mwashambwa siku hizi hanipendi kapata koloni jipyaLukasi atakuwekea uzi kama hivi
Ya kwako lini๐คธ
Lucas Mwashambwa siku hizi hanipendi kapata koloni jipya
Bado nakupenda sana ephen wangu lazizi na Waridi wa Moyo wangu. Wewe ndiye kiota cha Moyo wangu. Wewe ndiye chemchemi wa furaha yangu. ephen nifanye nini na kusema nini ili ujuwe nakupendaa.au nikupe moyo wangu uwe unaungalia muda wote kuwa unawaza na kukuwazia nini muda wote.Lucas Mwashambwa siku hizi hanipendi kapata koloni jipya
โบ๏ธBado nakupenda sana ephen wangu lazizi na Waridi wa Moyo wangu. Wewe ndiye kiota cha Moyo wangu. Wewe ndiye chemchemi wa furaha yangu. ephen nifanye nini na kusema nini ili ujuwe nakupendaa.au nikupe moyo wangu uwe unaungalia muda wote kuwa unawaza na kukuwazia nini muda wote.
bamdogo jamani naanzaje kuumia kwa mahusiano ya watu jamani๐๐Mamdogo mbona kama umeumia..!!??
Nakupendaa Sanaa ephen nakupendaa Sanaa ephen nakupendaa Sanaa ephen.โบ๏ธ