Happy Birthday Mahondaw

Lucas Mwashambwa siku hizi hanipendi kapata koloni jipya
Bado nakupenda sana ephen wangu lazizi na Waridi wa Moyo wangu. Wewe ndiye kiota cha Moyo wangu. Wewe ndiye chemchemi wa furaha yangu. ephen nifanye nini na kusema nini ili ujuwe nakupendaa.au nikupe moyo wangu uwe unaungalia muda wote kuwa unawaza na kukuwazia nini muda wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ