100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Kama kweli unamkubali @ephen hamia Chadema.Bado nakupenda sana ephen wangu lazizi na Waridi wa Moyo wangu. Wewe ndiye kiota cha Moyo wangu. Wewe ndiye chemchemi wa furaha yangu. ephen nifanye nini na kusema nini ili ujuwe nakupendaa.au nikupe moyo wangu uwe unaungalia muda wote kuwa unawaza na kukuwazia nini muda wote.
Akikujibu nitag๐Kama kweli unamkubali @ephen hamia Chadema.
Hana huo uwezo...Akikujibu nitag๐
Hata mimi sitaki aende Chadema๐คธ๐Hana huo uwezo...
Unazingua..Hata mimi sitaki aende Chadema๐คธ๐
Kwani Lucas Mwashambwa mwenyewe anasemajeUnazingua..
Amna hii ni couple maarufu sana JfKwahiyo mwamba anamshobokea au? ๐
Mi nlikuwa nampima hayo anayosema ni kweli, we unamtetea tena... Umezingua..Kwani Lucas Mwashambwa mwenyewe anasemaje
Sasa unaonaje tuwe couple mie niwe smart.Amezaiwa nami siku moja,.
Hbd date mate Mahondaw
Ukute meza ilibiduliwa au unataka kubidua meza mamdogo..!!bamdogo jamani naanzaje kuumia kwa mahusiano ya watu jamani๐๐
XMbona huyo Mahondaw haongei?
โบ๏ธ
Yeah, babez wa Smart ni mrembo sana!๐Mrembo