Happy Birthday Mama Tee (Zarieth The Bosslady)

Happy Birthday Mama Tee (Zarieth The Bosslady)

Zari ana moyo nampongeza,,mi ningekua zari nahisi ndo ungekua mwsho wetu,,,mana kuna kicheat afu kuna dharau,,sasa d alikua anafanya dharau,,unaleta m/ ke ndani kwako mnajiaaachia
heh heee who told you to sey zat
hehe heee
 
Povu lote hili my dear imekuuma ee meza wembe. I dont care. Malaya ni malaya tu bado kutuonyesha video akipatiwa mtoto. Zile picha hazitoshi
mmmh numbisa dia unatumia nguvu nyingi kumtukana hamisa ila diamond aliwaumbua.

kama hamisa Malaya si angetumia kondomu?? bora unyamaze tena kakili kwenye media??? tulia Dada ukute hata mda huu yupo kwa hamisa

huwezi kumuita MTU Malaya as if umamshikia paja umeanza kujishushia heshima

kama ni swala la umalaya basi zari ni funga kazi ogopa mwanamke una watoto tens wakubwa unamuacha Mme ndani , anaenda kulala na mdogo wake, imagine watoto wa kiume wakubwa vile??????ni malaya wa kiwango cha huu ajitafakali. na wewe tumia akili kuwaza.
 
Umenena vyema dadangu mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya mmmh kila mbuzi anakula usawa wa kamba yake pale kwa diamond wamuacha amicha na Maisha yake
dah mdada wa watu kawakaa kooni

hakuna mwanaume wa kijinga kuchapiwa na kwenda kuzaa nillan na Ivan Leo eti anapendwa ?????ahaaa anapendwa kwa maneno ahaaaa diamond ni mjanja kwenye interview eti anampenda zari yupo tiyari kwenda sauz na magoti ahaaa nikawaza siku ile anamkula hamisa kwa nn akupanda ndege masaa 3 akaenda sauzi??? na tangu mtoto azaliwe amelala kwa hamisa Mara mbili mpaka kucha duh
 
Huyu ndio mwanaume wa kweli anaeweza kumliwaza mwanamke na akamuelewa safi sana Dai usiyumbe umebahatika kumpata mwanamke wa kweli Strong women Hao vinuka mkojo waachie akina Kibakuli
Eti strong women...aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom