vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
Kaka sidhani ka ntakuwa nimekutukana nikisema wewe ni Taahira.....kumuamini mtu kuna uhusiano gani na jinsia? Halafu huwa mtu haaminiwi moja kwa moja wala kupingwa moja kwa moja....Ataaminiwa kwenye certain issues na kupingwa kwenye certain issues .....Just like everyone elseNyinyi ni mifano ya watu waliopotea Kwa kukosa maarifa.. Hahaha mnamwamini Mange halafu mna jinsia ya kiume.. Acheni uzembe.. Amkeni.fikirieni hata kidogoo tu
Sasa unaniuliza mimi mange alikuwa wapi, kweli ndugu yangu?yamekuwa hayo!!! hilo ndiyo jibu? sijaomba no mm.
I think you wanted to mean "Wuman of Steel " instead.Woman of still
wakati wa uchaguzi mange alikuwa ccm,wakati wa sakata la madawa ya kulevya ambalo limeanzishwa na makonda ameanza kutapatapa,mara achome kadi ya ccm mara amehania chama anachojua.je huyu ni popo?mpaka sasa mm amenichanganya ana masirahi gani wapi?[/QUJarib kuwa
Woman of steel.I think you wanted to mean "Wuman of Steel " instead.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Woman of steel not still, jaman ubashite mpaka kwenye lugha? Kama hamuwezi si mtumie kiswahili kuliko kujiaibisha, hovyo sana
Nenda Instagram halafu angalia akaunti yake ndo utamjua ni nani? Na kwanini bashite anataka anyongweHivi huyu Mange kitambi huwa ni Nani hasa.. Toka nianze kumskia sijui kipi anafanya mpaka awe maarufu jf.. Na je humu anatumia ID Gani.. Kama Hana ID humu ndani kwanini tumpongeze
Na hapa ndio nilianza kutofautiana naeUmemtukana sana mzee wangu lkn poa tuu