ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Dada yako amenikamata balaa[emoji39][emoji39]Asante rafiki japo nimenuna wewe sio wa kuchelewa kiasi hiki kwenye bday yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada yako amenikamata balaa[emoji39][emoji39]Asante rafiki japo nimenuna wewe sio wa kuchelewa kiasi hiki kwenye bday yangu
Dada yako amenikamata balaa[emoji39][emoji39]
"sasa imekuwa kinyume chake"Umeelewa nini?
Thanks brother
Mi pia, madam umekuwa hebu do ze nidiful
Siku zinaenda kasi sana pachaDuh mwaka mwingine ushakatika? Hbd to us
Ahsante mpendwaHappy birthday wapendwa
AhsanteHappy born day.
Ahsante tumekaribiaKaribuni kwenye chama cha wazee-vijana, hongereni!!
We nae una gubu, unajua nimeandika hivyo namaanisha nini?Sorry ngoja nifute
Ulimaanusha nn?We nae una gubu, unajua nimeandika hivyo namaanisha nini?
Na wewe birthday yako lini?Karibuni kwenye chama cha wazee-vijana, hongereni!!
Yangu imepita mdaaa!!Na wewe birthday yako lini?