Hah hah hah hivi unajuwa kuwa kuna tofauti kubwa kati ya busha na shipa?
Ok may me nianze na kukutoa tongotongo, ishu ni kuwa huyo Nesi ktk ufungaji magoli pale Barca goli lake la kwanza kufunga alipewa pasi na huyu Nabii wa mwisho. na kama hio haitoshi Nesi anakiri ya kuwa hata kama angefumba macho siku ile basi angeweza kufunga tu, na ukikazia kuwa mpira unamjuwa Nesi na kumpenda basi unakuwa unachuma dhambi.
saint Gaucho hata ukimpigia shuti la dochi basi mwilini mwake mpira utaganda tu na utatulia.
Inaaminika pia kuwa kama mpira ungalikuwa na mdomo ungeomba kila dakika upelekwe kwa Dinho Magic ili akauchezee na kufurahi.
Kajipange tena kisha urudi.