Happy Birthday Mwifwa!

Bahati ya mwenzio huwezi kuilalia mlango wazi.

Kila mmoja ana bahati yake ambazo zinatofautiana
Dahhh.......
Sikutarajia kama nawewe ariff unaweza niharibia kwa huyu mbuzi ninae muona anaelekea kibla karibu na kumpika supu.... tehteehhh
 
Huyu ndugu kumbe kazaliwa leo?

Kheri ya siku yako ya kuzaliwa ndugu, Mungu akutangulie kwa kila jambo unalopanga [emoji512][emoji512]
Ahsante sana ndugu yangu, atutangulie sote kwa kila jambo la kheri na la shari siku zote.

Vipi maandaliza ya kukata keki na kugongeana glasi yanaendeaje hapo..??
 
Ahsante sana Neybright.

Mungu atuongoze sote katika njia ya haki na yenye manufaa mbele yake hapa Duniani na huko baadae turejeapo kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…