Happy Birthday Mwifwa!

Happy birthday bro! Allah akujaalie umri mrefu wenye kheri na baraka kwako, akujaalie fikra, yakinifu ya kuweza kupambanua mabaya na mema, akujaalie kizazi chema na yote yaliyo mema kwako na akuepushe na yote yenye shari nawe[emoji119]
 
PM saivi sitaki mtu akuje comrade, maana kina binti mmoja ametaka kuniangushia ban isio ya lazima kwa kuyaanika ya kule hapa, tena mubashara kabisa..... tehteehhh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Pole sana amigo! Ina maana hata mimi huniamini? Nikaribishe tu mimi ni mhenga mwenzio ujue, siwezi kufanya huo utoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…