Happy birthday my Darling! I love you

Happy birthday my Darling! I love you

Kwema kabisa Shemeji yangu...! Bora Umekuja bwana Maana sim yangu haina ata salio la kubip Shem...! Alafu hii simu yangu ya tochi inasumbua sn

Mmmmhhhhhhhh.....!!!!
 
Ladies and Gentlemen!!

Our friends inlove!!
Leo tarehe 20 November, shansarie mpenzi wangu wa Rohoni na Mwilini anatimiza miaka kadhaa ya kuishi hapa duniani..

I thank God, for her life and our love..
shansarie ni mwanamke wa kweli mwenye vigezo visivyo potezeka..
Happy birthday to you my sweetheart!!

May God add to you more years of happiness and success,

Ndugu zangu na marafiki zangu wa hapa Jf,
Nawaomba wote kwa ujumla wenu Muungane na mimi Kumtakia Heri huyu Mpenzi wangu!!
Leo ni Siku yake...

Marafiki zetu wa Arusha
few to mention Mr Rocky & my wife wako, 'Valentina' na mumeo(hapa sijui utakuja na nani), Arushaone & Lady doctor mkeo..
Erickb52 & ur current wife Chocs
Preta, (huna mume wewe) njoo mwenyewe..
My dearest friend marejesho..
LiverpoolFC Mkuu PakaJimmy na wadau wengine woote..

Marafiki zetu wa Tanga
just Few to mention..
KOKUTONA & ur ex Eli79 karibuni
mamaafacebook karibu, but i will make sure my kifanyio codes will be effectively locked!!
Mkuu wa kaya hiyo babu Dark City karibu sana..
mzee mzima Mwanyasi & ur wife Janeth1..
Karibuni kwa ujumla wenu..

Marafiki zetu wa Mwanza..
Please charminglady help me here!!

Marafiki zetu wa dar na morogoro
nitaje wachache..
utafiti, njoo na miss neddy
even Excel..will be here!!
Ulinzi utaimarishwa..
Ntuzu kama bado uko dar take Khantwe with you..
Asprin babu welcome its the time to meet ur women including mamaafacebook and that white one..
ladyfurahia karibu..
miss chagga, angelita lara 1 warmly welcome!!
Heaven on Earth Honey Faith & Rogie
tinna cute karibuni na niitieni wale wengine..
Mkuu watu8 & ur family..
Madame B amu beverlying salt and the whole crew.. warmly welcome..
kan'tangaze karibu..
Tumboo (moro)
mshana jr

Marafiki zetu wa nje ya nchi..
charty, Viol farkhina Van Diesel
Tyta karibu hata kama uko tz
my big aunt Mamndenyi..welcome
Dodoma..
The secretary come with them..

Mtwara Kwetu!!
MMAHE and Sinziga welcome

Mtoto halali na hela...
ukitoka Kibo upitie hapa..
kabanga uwepo wako ni muhimu sana..

Mimi na Mme wangu Mwanyasi tunawatakia sherehe njema ....heri ya kuzaliwa mama kiwatengu Mungu akupe maisha mema na yenye fanaka.
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday shansarie,,,, Mungu akupe maisha marefu upate kuona wajukuu wa wajukuu zako...
 
Last edited by a moderator:
Kwema kabisa Shemeji yangu...! Bora Umekuja bwana Maana sim yangu haina ata salio la kubip Shem...! Alafu hii simu yangu ya tochi inasumbua sn

Thats my kaka bwana hanaga mambo ya kificho ficho.Nadhani bado unaendeleza kale kaslogan ketu"mchuzi wa mmbwa uliwa wa moto".
 
Back
Top Bottom