kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
- Thread starter
- #141
Naanzaje kulala mda kama huu wakati ndio kwanza tupo njiani tunakuja kwenye party
You look mwaah..
Please stay far from miss neddy property
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanzaje kulala mda kama huu wakati ndio kwanza tupo njiani tunakuja kwenye party
Ha ha ha.. kumbe ushahama kitunda?
Lazma kilockiwe aisee
Afu umenanii tena?
Ladies and Gentlemen!!
Our friends inlove!!
Leo tarehe 20 November, shansarie mpenzi wangu wa Rohoni na Mwilini anatimiza miaka kadhaa ya kuishi hapa duniani..
I thank God, for her life and our love..
shansarie ni mwanamke wa kweli mwenye vigezo visivyo potezeka..
Happy birthday to you my sweetheart!!
May God add to you more years of happiness and success,
Ndugu zangu na marafiki zangu wa hapa Jf,
Nawaomba wote kwa ujumla wenu Muungane na mimi Kumtakia Heri huyu Mpenzi wangu!!
Leo ni Siku yake...
Marafiki zetu wa Arusha
few to mention Mr Rocky & my wife wako, 'Valentina' na mumeo(hapa sijui utakuja na nani), Arushaone & Lady doctor mkeo..
Erickb52 & ur current wife Chocs
Preta, (huna mume wewe) njoo mwenyewe..
My dearest friend marejesho..
LiverpoolFC Mkuu PakaJimmy na wadau wengine woote..
Marafiki zetu wa Tanga
just Few to mention..
KOKUTONA & ur ex Eli79 karibuni
mamaafacebook karibu, but i will make sure my kifanyio codes will be effectively locked!!
Mkuu wa kaya hiyo babu Dark City karibu sana..
mzee mzima Mwanyasi & ur wife Janeth1..
Karibuni kwa ujumla wenu..
Marafiki zetu wa Mwanza..
Please charminglady help me here!!
Marafiki zetu wa dar na morogoro
nitaje wachache..
utafiti, njoo na miss neddy
even Excel..will be here!!
Ulinzi utaimarishwa..
Ntuzu kama bado uko dar take Khantwe with you..
Asprin babu welcome its the time to meet ur women including mamaafacebook and that white one..
ladyfurahia karibu..
miss chagga, angelita lara 1 warmly welcome!!
Heaven on Earth Honey Faith & Rogie
tinna cute karibuni na niitieni wale wengine..
Mkuu watu8 & ur family..
Madame B amu beverlying salt and the whole crew.. warmly welcome..
kan'tangaze karibu..
Tumboo (moro)
mshana jr
Marafiki zetu wa nje ya nchi..
charty, Mkuu sana Tized..sijui kwanini nimekuweka kwenye hili kundi Viol farkhina Van Diesel
Tyta karibu hata kama uko tz
my big aunt Mamndenyi..welcome
Dodoma..
The secretary come with them..
Mtwara Kwetu!!
MMAHE and Sinziga welcome
Mtoto halali na hela...
ukitoka Kibo upitie hapa..
kabanga uwepo wako ni muhimu sana..
Happy birthday shansarie. Mungu akupe maisha marefu
Happy birthday shansalie
Happy birthday wifi shansarie Mungu akuzawadie miaka mingi zaidi.
Happy birthday #shansarie
Nimewamiss mnoo
Pokea ujumbe huu kutoka kwa Chocs & Erickb52
Uwe na maisha yenye kheri na afya telee
Happy birthday mke wa Kiwatengu,hebu tuambie anatimiza umri gani
happy birthday to your sweet potato shansarie. Mungu ampe maisha marefu na yenye ukamilifu
Happy birthday shansarie mwenzaaa ahhhhaha hivi ww kiwatengu hujui cha peke yako n kaburi tu vingine tunashare???? Asprin najua sana ana vimada tele ana michepuko kibao atarandaaaaaa weee lakin jion.ntalala nae halafu hiko kifanyio unachotaka kukilock kwa sababu gani???? We mwambie mkeo akae sawa akazubaaa nampindua.
Happy birthday shansarie,Mungu akupe maisha marefu.
Nimechelewa kuona ujumbe ila nadhani keki bado haijakatwa.Please nikikute kipande changu.Happy birthday mumie shansarie
Happy birthday shansarie,,,, Mungu akupe maisha marefu upate kuona wajukuu wa wajukuu zako...
Happy. Birthday chica........enjoy siku yako...........
Happy birthday shansarie mwenzaaa ahhhhaha hivi ww kiwatengu hujui cha peke yako n kaburi tu vingine tunashare???? Asprin najua sana ana vimada tele ana michepuko kibao atarandaaaaaa weee lakin jion.ntalala nae halafu hiko kifanyio unachotaka kukilock kwa sababu gani???? We mwambie mkeo akae sawa akazubaaa nampindua.
Mbarikiwe wote mlionitakia kheri mkwakweli mmeshiriki vema kuifanya siku yangu kuwa njema asantrnu sana
Mbarikiwe wote mlionitakia kheri mkwakweli mmeshiriki vema kuifanya siku yangu kuwa njema asantrnu sana
Utaanzia api jaribu uone
You look mwaah..
Please stay far from miss neddy property
Ubarikiwe sana sana..
Mkuu wewe location yako ni wapi?
You look mwaah..
Please stay far from miss neddy property