Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So wote wana eat?
Duh..
Major ni nani sasa?
Usithubutu kukutwaaaa:mimba::mimba:babu umepotea sana tangia ufumanie ......nasikia na kisu chako kimekuwa butu
Happy birthday shansarie
How old are you now?
Hbd mkewe kiwatengu
Hongera sana shem shansarie. Ni maombi yetu Mungu azidi kuwafunika chini ya mbawa zake, awatunze, awalinde, wafadhili na kuwaongoza katika safari yenu hapa chini ya jua na baada ya hapa.
Hongera pia ndugu yetu kiwatengu kwa kubahatika kumpata huyu mwali, hongera pia kwa kujali na kumthamini mpendwa wako huyu. We can only wish you the BEST.
Bandugu nisameheni kwa kutofika hapa mapema taa yangu iliishia mafuta njiani nikaja na giza tororo.
Happy birthday bestito shansarie nimekumisije?
Mungu akupe maisha mengi ya uhai uwe na afya njema
Happy birthday bestito shansarie nimekumisije?
Mungu akupe maisha mengi ya uhai uwe na afya njema
Hongera sana shem shansarie. Ni maombi yetu Mungu azidi kuwafunika chini ya mbawa zake, awatunze, awalinde, wafadhili na kuwaongoza katika safari yenu hapa chini ya jua na baada ya hapa.
Hongera pia ndugu yetu kiwatengu kwa kubahatika kumpata huyu mwali, hongera pia kwa kujali na kumthamini mpendwa wako huyu. We can only wish you the BEST.
Bandugu nisameheni kwa kutofika hapa mapema taa yangu iliishia mafuta njiani nikaja na giza tororo.