Happy birthday my lovie!

Happy birthday my lovie!

Hepi besdei kwake, angalau leo utaitwa mai lavu...[emoji28]
 
Dina wacha zako usije nisababishia nikaachwa mimi..[emoji3]
Kwani we na mshana mliishia wapi..?

Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mshana ndio nani mbona simfahamu[emoji23][emoji23]
 
Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mshana ndio nani mbona simfahamu[emoji23][emoji23]
Naona tule tumzimu twako tumeanza kukupanda! Labda shela la majani ya mihogo..🤣
 
Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mshana ndio nani mbona simfahamu[emoji23][emoji23]
Leo humjui mshana wako duh! Unajua kukana we dada upo vizuri..😂
 
Back
Top Bottom