Dada mtu mzee anasubiria kwenda kwa baba tu umri ushamtupa...Basi naomba nihamie kwa dada mtu, maana valley kule katuweka mtu kati badalaa hafai hata kulumagiwa aiseee
Awww hata mie pia mzee vijana siwezi mie njoo tumalizie uhai wetu pamoja tuDada mtu mzee anasubiria kwenda kwa baba tu umri ushamtupa...
We gangamala kwa mdogo mtu valley
[emoji15] we naona unataka umtangulize dada ake Valley kabla ya siku. Na uzee wote huu unataka unifanye niniAwww hata mie pia mzee vijana siwezi mie njoo tumalizie uhai wetu pamoja tu
Kukulea na kupata mtu wa kukulilia siku ukifa, hutaki kuzikwa kifalme?[emoji15] we naona unataka umtangulize dada ake Valley kabla ya siku. Na uzee wote huu unataka unifanye nini
Maneno ya pacha mtu hayoo[emoji115] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] BTW ushawahi kufanya kazi na bi chau? si kwa kufunda hukuBetter late than never. Me nakuombea mambo yafuatayo
1. Hofu ya Mungu
2. Afya njema
3. Upendo (wa familia, ndugu , jamaa na bwa shem)
4. Amani ya moyo
5. Kibali mbele ya Mungu na wanadamu
Nakuombea baraka zote za rohoni na mwilini. Usipungukiwe kwa jambo lolote. Akakupe nguvu, busara, hekima na Uvumilivu hata unapopita katika gumu lolote (majaribu ni mtaji, hayaepukiki). Mungu akazidi kukuinua from Utukutu to Utukutu; Yes akakuinue juu ya mataifa yote. It shall always be well with you, Inshallah ( nilitaka kusahau teh, may your current biggest dream[emoji183] [emoji183] turns into your biggest reality)
hahha wish zangu ungezipata tu.. hata kwa hard copy!!!Huu utumbuzi umekuja na baraka eeh? La sivyo nisingeipata wish yako hahahaaaaa.
Nimecopy na mi nijitumie haya maneno siku ikifika πBetter late than never. Me nakuombea mambo yafuatayo
1. Hofu ya Mungu
2. Afya njema
3. Upendo (wa familia, ndugu , jamaa na bwa shem)
4. Amani ya moyo
5. Kibali mbele ya Mungu na wanadamu
Nakuombea baraka zote za rohoni na mwilini. Usipungukiwe kwa jambo lolote. Akakupe nguvu, busara, hekima na Uvumilivu hata unapopita katika gumu lolote (majaribu ni mtaji, hayaepukiki). Mungu akazidi kukuinua from Utukutu to Utukutu; Yes akakuinue juu ya mataifa yote. It shall always be well with you, Inshallah. Oops nilitaka kusahau teh, may your current biggest dream[emoji183] [emoji183] turns into your biggest reality. May you live to a ripe old age
Yani nimeingia tu kama bahati, sijasoma hata comments zote, kumbe na hao wapendwa hawajapita. Nipo twin, nina kauvivu kakutype siku hizi na hivi shurti niandike gazeti haha , basi naishia tu kusoma zaidiHahahaaaa usijali twin,hata hivyo ni muda mrefu sana sijakuona.
Ngoja nimalizie list...waje na geniveros kabisa [emoji12]
Haha me mwenyewe ni bi chau lolManeno ya pacha mtu hayoo[emoji115] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] BTW ushawahi kufanya kazi na bi chau? si kwa kufunda huku
Be blessed pia le super twinJamaniiiiiiii le super twin kwa maombi sikuwezi mama,umeniamkia na upako.
Ameeen,ubarikiwe sana mpenzi wangu.
Hapo mwisho sasa hahahaaaaa asante mwaya,asante kwa support yako kwetu since day one.
Ubarikiwe HS [emoji120]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nimecopy na mi nijitumie haya maneno siku ikifika π
Mmh johnson wewe... Mbona moyo wangu unakua mzito kukubali sasaKukulea na kupata mtu wa kukulilia siku ukifa, hutaki kuzikwa kifalme?
Haha you don't have to copy bana. Ninong'oneze tu tarehe yako then wait. BTW umemissika haswaaaaNimecopy na mi nijitumie haya maneno siku ikifika π