KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
hahah kumbe mpe hi mingi mingi sanaThanks Jovitha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah kumbe mpe hi mingi mingi sanaThanks Jovitha
Huonekani mzee hadi namis challenge zakoKwema jooh!
Penye true love hudhihirika wala hauhitaji nguvu kutambua. Raha sanaaaaa.Yeap,ni true love mkuu,shukraan sana.
[emoji17]
Hahahahaa!Huonekani mzee hadi namis challenge zako
Hivi hawa jamaa walikufaga ?Huonekani mzee hadi namis challenge zako
Natamani kuliona hilo chimbo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kausha basi nimejipatia chimbo jipya la peke yangu,
Niwaone sasa mnanivamia na huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mtundu sana ujueNatamani kuliona hilo chimbo
Mtoto wawatu hata huo utundu wenyewe siujui jamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mtundu sana ujue
Tatatibu GENTAMYCINE asisikie.Nakuona nakuona[emoji13] na shemela Ze Bold pia anakuona
Nifah akiachwa namchukuaahakuna muoaji hapa jamaa blah blah tu huyu nifah nae akiona huu ujumbe chupi mkononi ! ni kugegedwa kwa mkopo mwazo mwisho cc@miss chaga
Mkuu habari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yeah.! Kwenye taglist she is the first.. Si unajua tena, yeye ndio first thought linalonijia nikifanya chochote
Wasalimie.. Wakumbushe kwamba,Nifah kulikoni tena Shemela wetu The Bold kala tena Umeme ( BAN ) ya fasta fasta hivi? Kumbe Mimi na yeye hatuchekani kwa kuwa Red Carded humu JF? Pole sana Dada yangu. Mods wa sasa wananyoosha tu hawataki ' janja janja ' na ' shobo '.
Finally u'r back shemela[emoji4]Wasalimie.. Wakumbushe kwamba,
Huwezi kumuua chura kwa kumtupa ndani ya maji.... Ndio maana wenzao walioitia umasikini Africa leo wanajuta kwa yanayowasibu.!
Alafu naishi kama Pablo, so wasinitegemee kupiga goti kama PNC.!!
They can support me or watch me achieve my dreams by myself!!
Watch this space...