Happy Birthday Nifah, Cheupe wangu..

Happy Birthday Nifah, Cheupe wangu..

Naona giza tu kwakweli mimi
C'mon [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] anyway ngoja nikupe muda utafakari kwa amani kabisa,
yote nataka uamini kama umekutana na super man mzee mwenzie acha nikumbukie enzi zetu tunatongoza miaka 3,
Ndivyo waoaji wakweli huwa.
 
C'mon [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] anyway ngoja nikupe muda utafakari kwa amani kabisa,
yote nataka uamini kama umekutana na super man mzee mwenzie acha nikumbukie enzi zetu tunatongoza miaka 3,
Ndivyo waoaji wakweli huwa.
Ha haa umenikumbusha,I wish Nifah atwambie ilichukua muda gani kumkubalia The bold...

Hebu muulize basi
 
Happy Birthday Dada Nifah.... Mungu akujalie Maisha marefu sana Huko mbeleni.

Hivi unajua mimi na UncleBen ni kaka zako wa Damu kabisa? Tungependa damu irudi nyumbani lakini naona mmegandana na huyo chalii.

Nasi hatuna budi kuwatakia kila lililo la kheri na Mungu awazidishie mbeleni.

Metamayana indai Engai.
 
Back
Top Bottom