johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Usijali ndo saini ya kukubali hyo, mwanzo mgumu siku zote hebu kunywa maji je hunioni kwenye glass?Mmh johnson wewe... Mbona moyo wangu unakua mzito kukubali sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali ndo saini ya kukubali hyo, mwanzo mgumu siku zote hebu kunywa maji je hunioni kwenye glass?Mmh johnson wewe... Mbona moyo wangu unakua mzito kukubali sasa
Haha Vale dear, puliiiiz. Hadi nafsi inanisuta ujue, will get back to you ASAPHeiyoooo murembo...
Ila bado nimekununia tu wewe. Nibembeleze[emoji17]
Naona giza tu kwakweli mimiUsijali ndo saini ya kukubali hyo, mwanzo mgumu siku zote hebu kunywa maji je hunioni kwenye glass?
hahha utaijua tu siku ikifika... lazma nkwambie!!!Haha you don't have to copy bana. Ninong'oneze tu tarehe yako then wait. BTW umemissika haswaaaa
C'mon [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] anyway ngoja nikupe muda utafakari kwa amani kabisa,Naona giza tu kwakweli mimi
Teh haya, tuombe tu uzimahahha utaijua tu siku ikifika... lazma nkwambie!!!
umemissika mnoo... kule sikuoni 😳
wivu huu 🙁🙁🙁... ncheke tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha haa umenikumbusha,I wish Nifah atwambie ilichukua muda gani kumkubalia The bold...C'mon [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] anyway ngoja nikupe muda utafakari kwa amani kabisa,
yote nataka uamini kama umekutana na super man mzee mwenzie acha nikumbukie enzi zetu tunatongoza miaka 3,
Ndivyo waoaji wakweli huwa.
Hahahaaaaaa si umesema umenyooka wewe?
Au ndio tuseme jasiri haachi asili?
Hahahaaaaa cake ipo mpendwa,wewe tu jipange kuifuata [emoji39]
Ameeeen,nashukuru sana dada mpendwa.
Duhhh kumbe mnaniona?????[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani Johson wewe?
Muulize ww, naanzaje kumuuliza mdogo wangu masuala kama hayo?Ha haa umenikumbusha,I wish Nifah atwambie ilichukua muda gani kumkubalia The bold...
Hebu muulize basi
Alafu usichange gia angani, mada ya kwako hii, [emoji23][emoji23][emoji23]Ha haa umenikumbusha,I wish Nifah atwambie ilichukua muda gani kumkubalia The bold...
Hebu muulize basi
Tena usipomuuliza ndo sikukubalii kabisaMuulize ww, naanzaje kumuuliza mdogo wangu masuala kama hayo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah huu sasa mtihani, ngoja nimuulize shem ndo rahisi kwanguTena usipomuuliza ndo sikukubalii kabisa
Haya nasubiri jibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah huu sasa mtihani, ngoja nimuulize shem ndo rahisi kwangu