Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho watangazaji nilioanza kiwaona mm kwenye tv nikawakubali mapema ni david wakati (R.I.P) na Pascal mayalaKumbe aliwahi kufanya kazi hapo
aaaahhhhaaKidogo tu ungezaliwa siku ya wajinga unayopenda kuisherekea kwa kutufanya wajinga.
Happy birthday "Mayala mwenye njaa" japo umeshiba na kitambi juu.
SidhaniHuku hayupo aling'atuka toka tarehe 01.04.2020 ile sikuya wajinga nae kaenda zake na kujiunga na inzi wa green
Atakija tu kulikeKuna kitu nimegundua. Paskali haja-like hata moja ya hongera alizopewa katika siku ya kuzaliwa kwake. Mosi, pengine hapendi kukumbuka umri wake. Lakini pili, pengine amejiondoa kabisa kutoka JF ili ajitayarishe kugombea Ubunge.
The legendKipindi hicho watangazaji nilioanza kiwaona mm kwenye tv nikawakubali mapema ni david wakati (R.I.P) na Pascal mayala
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala.
Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
Hongereni sana...Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.
Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
P
Happy birthday Mkuu....wishing long, healthy and happy life to both of you!Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.
Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
P
Happy Birthday, Pasco Mayalla Snr,Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.
Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
P
Heri ya kuzaliwa kwenu🎇Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.
Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
P
heri ya kuzaliwa MkuuNaona tuna_share tarhe ya kuzaliwa.
Happy Birthday, Pasco Mayalla Snr,
May your day be filled with joy and cheer,
As you celebrate another year.
And to Pasco Mayalla Jnr, too,
May your birthday be a dream come true,
Filled with love and all that's new.
Some believe in coincidences,
That they just happen by chance,
But with manifestation and intention,
We can turn them into a dance.
So let's celebrate these special days,
And send our wishes in many ways,
For Pasco Mayalla Snr and Jnr,
May your birthdays be filled with splendor.
Happy birthday Pascal Mayalla and your youngest son.Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.
Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
P
Hauna hata Christmas moja jukwaani alafu unajifanya unajua watu nasty bwayEeehh Father Benard!!!!!!!!! Asee Huyu jamaa huwa simuelewagi kabisa....dizain kama LBTQ hivi....
Asante sana.Happy birthday Pascal Mayalla and your youngest son.