Happy Birthday Pascal Mayalla

Happy Birthday Pascal Mayalla

Kuna kitu nimegundua. Paskali haja-like hata moja ya hongera alizopewa katika siku ya kuzaliwa kwake. Mosi, pengine hapendi kukumbuka umri wake. Lakini pili, pengine amejiondoa kabisa kutoka JF ili ajitayarishe kugombea Ubunge.
 
Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala.

Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
 
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
Hongereni sana...
 
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
Happy birthday Mkuu....wishing long, healthy and happy life to both of you!
 
Naona tuna_share tarhe ya kuzaliwa.
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
Happy Birthday, Pasco Mayalla Snr,
May your day be filled with joy and cheer,
As you celebrate another year.

And to Pasco Mayalla Jnr, too,
May your birthday be a dream come true,
Filled with love and all that's new.

Some believe in coincidences,
That they just happen by chance,
But with manifestation and intention,
We can turn them into a dance.

So let's celebrate these special days,
And send our wishes in many ways,
For Pasco Mayalla Snr and Jnr,

May your birthdays be filled with splendor.
 
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
Heri ya kuzaliwa kwenu🎇
 
Naona tuna_share tarhe ya kuzaliwa.

Happy Birthday, Pasco Mayalla Snr,
May your day be filled with joy and cheer,
As you celebrate another year.

And to Pasco Mayalla Jnr, too,
May your birthday be a dream come true,
Filled with love and all that's new.

Some believe in coincidences,
That they just happen by chance,
But with manifestation and intention,
We can turn them into a dance.

So let's celebrate these special days,
And send our wishes in many ways,
For Pasco Mayalla Snr and Jnr,

May your birthdays be filled with splendor.
heri ya kuzaliwa Mkuu
 
Eeehh Father Benard!!!!!!!!! Asee Huyu jamaa huwa simuelewagi kabisa....dizain kama LBTQ hivi....
 
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili, japo mwaka umekosewa ila tarehe yenyewe ni sawa.

Ila pia Birthday yangu ime coincide na birthday ya last born wangu ambae nae anayeitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr
Kuna watu wanaamini it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie some coincidences, mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako.
Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 niliposema https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kusema https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)

P
Happy birthday Pascal Mayalla and your youngest son.
 
Back
Top Bottom