Happy birthday Penny

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Leo huyu bidada anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe, i just wish her happy born day. Happy birthday Penny.

 

Attachments

  • 1399220444345.jpg
    44 KB · Views: 2,393
Wewe Dinazarde ebu achana na hizo team mavi mavi njoo huku, hizo team mahali pake uko instagram sio huku.

Aya ebu nipe umbea kwanza, ivi Jana penny alikuwepo pale mlimani kwenye utoaji wa tunzo au?? Maana sijaangalia Jana , na wolper alikuwepo??
 
Last edited by a moderator:
Wewe Dinazarde ebu achana na hizo team mavi mavi njoo huku, hizo team mahali pake uko instagram sio huku.

Aya ebu nipe umbea kwanza, ivi Jana penny alikuwepo pale mlimani kwenye utoaji wa tunzo au?? Maana sijaangalia Jana , na wolper alikuwepo??

Hahahaa haaaa
Com zis way Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
mmh masikini peny pamoja na kumrekodi wema kipindi kile na kumsambaza kwenye mitandao na kumwambia awaache mlale lakini bado diamond amemrudia.......happy born day anyway
 
warumi mpaka unafaham birthday ya Penny?we noma
 
Last edited by a moderator:
mmh masikini peny pamoja na kumrekodi wema kipindi kile na kumsambaza kwenye mitandao na kumwambia awaache mlale lakini bado diamond amemrudia.......happy born day anyway

Kalikuwa kanajishau sana , kiingereza kwa wingi ooh tuache tulale kubabeki tupa kulee, ndomo sio mtu mzuri kabisa binamu , ila naona kashakubal hali halis, kawa mpole mwenyewe kubabekiii..
 
Wewe Dinazarde ebu achana na hizo team mavi mavi njoo huku, hizo team mahali pake uko instagram sio huku.

Aya ebu nipe umbea kwanza, ivi Jana penny alikuwepo pale mlimani kwenye utoaji wa tunzo au?? Maana sijaangalia Jana , na wolper alikuwepo??


Leo unazikana team warumi imepasuka kama team wema inavyo endelea kupasuka huko instagram
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha
Ingekua mie ningelazwa!!

Hpy birthdy Penny
 
What goes around comes around. Wema alianza na Diamond before Diamond hajawa star. So Penny awe mpole. a
mmh masikini peny pamoja na kumrekodi wema kipindi kile na kumsambaza kwenye mitandao na kumwambia awaache mlale lakini bado diamond amemrudia.......happy born day anyway
 
kaacheni katoto kawatu kapumue sasa! mashambulizi yametosha sasa! mapenzi kitu cha ajabu mno huwezi jua nini kitatokea kesho na keshokutwa kati yake na diamond
 
Mbona kama mapenzi ya Dai na Wema yanawatia kiwewe wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…