Happy birthday Penny

Happy birthday Penny

mmmmh miaka 22 yule dada si kweli jaman au kadri siku zinavyozid kwenda miaka inarudi nyuma????

Penny Mbona Wa Muda Sana...Miaka Yake Nadhani Hata Sepetu na Diamond Hawampati....Ila Ndio Hivyo Tena....
 
Penny Mbona Wa Muda Sana...Miaka Yake Nadhani Hata Sepetu na Diamond Hawampati....Ila Ndio Hivyo Tena....

Penny ni age mate na class sawa na wema tu kamaliza Cornelius girls 2006 form 4 so ni between 1988,89 or 90... Classmates zake watakuwa wanajua exactly, Wala si mkubwa kihivyo tena Wema ni mkubwa kwake.
 
Penny ni age mate na class sawa na wema tu kamaliza Cornelius girls 2006 form 4 so ni between 1988,89 or 90... Classmates zake watakuwa wanajua exactly, Wala si mkubwa kihivyo tena Wema ni mkubwa kwake.

May be kwa sababu ana sura ya kikubwa kidog, anaonekan amekomaa kimtindo
 
Its too late, I hold no grudge anymore, I have said each an everything on previous thread yesterday.

There is no room for such an argument any more, hyo nafas ulikuwa nayo Jana , but naona hukuitumia ipasavyo na unais kama umeshindwa vile , its OK ndivyo ilivyo.

hahahaha unajipa moyo nimeshindwa eeeeeh tufunike kombe tu amani iwepo kati yetu
 
Penny ni age mate na class sawa na wema tu kamaliza Cornelius girls 2006 form 4 so ni between 1988,89 or 90... Classmates zake watakuwa wanajua exactly, Wala si mkubwa kihivyo tena Wema ni mkubwa kwake.

My Instincts tell me She is older than them
Labda kwakuwa nimemjua penny kabla ya Diamond Na Wema.....Kwakuwa Sina Cheti Chake Cha Kuzaliwa Basi Niishie Hapa na hiyo miaka ndio imezidi kunitatanisha...
 
My Instincts tell me She is older than them
Labda kwakuwa nimemjua penny kabla ya Diamond Na Wema.....Kwakuwa Sina Cheti Chake Cha Kuzaliwa Basi Niishie Hapa na hiyo miaka ndio imezidi kunitatanisha...

Funguka tu binamu tupe ma news
 
Yaan Penny alivyoachwaa na Dai kawa mzurii na mremboo duuu
Yaan mi wasanii wakae mbali na mie yaan wamegeuzwa farasi wanapandwa kwa zamu na wanafurahi kwelii
Ila ndio hivyo wanapokezanaa maumivuu

Umeona eeeh, wanafurahia.......akili zao zinafanana
 
Penny akiwa kwenye studio mpya aliyopata shavu la kutangaza kwenye kituo kipya cha radio Efm (93.7fm)
Cc : Dinazarde
 

Attachments

  • 1399310657740.jpg
    1399310657740.jpg
    75.7 KB · Views: 158
Last edited by a moderator:
ila sasa hivi atakuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo....poor her
Penny mjinga kweli alimwamini sana Diamond,na kipindi kile anamrecord Wedimond,wema na diamond walikuwa wanaonana vizuri,eti yeye akajidai kumrecord wema ili ionekane wema anajipendekeza kwa Diwema,,Penny alifikiri anayo ya dhahabu eeeh kumdhalilisha mwanamke mwenzake namna ile.
 
Penny akiwa kwenye studio mpya aliyopata shavu la kutangaza kwenye kituo kipya cha radio Efm (93.7fm)
Cc : Dinazarde

Sidhani kama huyu kaachana na domo tutakuja kuyasikiaa mbelenii
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama huyu kaachana na domo tutakuja kuyasikiaa mbelenii

Katulia sana kama hayupo, waswahil wanasema kimya kingi kina mshindo..

Na siku ndomo akimuacha wema atakoma hayo matusi , kwanza nahis ataambiwa amrudishie wema tuzo coz bila yeye asingezipata kama wanavyodai

Hizo tuzo zitaleta mambo makubwa uko mbelen labda ndomo atulie kwa wema la si hvyo tuzo zote ataziona chungu , atajuta kwa nn alizipata wakat yupo na wema , sasa ivi ni mapema mno kuelewa
 
Katulia sana kama hayupo, waswahil wanasema kimya kingi kina mshindo..

Na siku ndomo akimuacha wema atakoma hayo matusi , kwanza nahis ataambiwa amrudishie wema tuzo coz bila yeye asingezipata kama wanavyodai

Hizo tuzo zitaleta mambo makubwa uko mbelen labda ndomo atulie kwa wema la si hvyo tuzo zote ataziona chungu , atajuta kwa nn alizipata wakat yupo na wema , sasa ivi ni mapema mno kuelewa

Ndio hivyooo chezeaa team Wemaa aka misukuleee
 
Back
Top Bottom