Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
DuuuhHabari yako broo... Unajua umenifanya last saturday ninywe heinken ili tu kusikia iko vipi maana ulikua unazisifia sana.hahaaa
Mama mchuchu kapotea kabisa nowdays
Thanks my dear!.
Atulinde sote jamaniii[emoji8][emoji7]
Ndo nani eti
Hahahaa..Habari yako broo... Unajua umenifanya last saturday ninywe heinken ili tu kusikia iko vipi maana ulikua unazisifia sana.hahaaa
Mama mchuchu kapotea kabisa nowdays
Nina ndoa mkuu
Heri ya siku ya kuzaliwa kwake!Ni member tu naona naye kazaliwa tukifuatana 9 june.. naona nisiku mu-wish
Enjoy your day wiselyAsante sana kakangu jamaniii!.
Barikiwa mno
Tuombeane kheri!Alaaa! Hongera mkuu siku mambo yakipinduka usisahau kuni Pm[emoji848]
Same here! Habari yako?? Za siku nyingi???Nmekumiss
Keki ni bunju Shem ake Sakayo
Thank you Don...Happy Birthday To You.
Karibu sana jamaniiOoih kumbe hapo tu...nitakuja kufata kipande yangu
Wacha tu nilienda kwenye harusi ya wachaga nikakaa sehemu ambapo wanakunywa vilevi vikali, kwa kunihurumia waliniambia ninywe bia sio soda..nikasema haikati dingii kwasababu heinken zilikuwepo ndo nikagonga hizo tatu ili nione unavyoisifia. Nashukuru tu sikupata ajali njiani ila zilinitoka jumapili saa 2 usikuππππππππππHahahaa..
Kijana umeanza kubwia beer [emoji23][emoji23].
So ulijisikiaje baada ya hapo?
Mungu ni mwema, ni mwaminifu sana kwangu!
Namshukuru kwa umri mpya alonijaalia, wazazi, ndugu, kazi, pumzi na akili!
Lakini zaidi namshukuru Mungu kwa kunipa marafiki ambao wamekuwa kama ndugu, wana JF nyie ni kama ndugu zangu! Namshukuru Mungu sana kwa hilo!
Nitakuwa mnafiki kushukuru Mungu bila kuwaombeni msamaha nyinyi ndugu zangu, najua wapo niliowakwaza kwa kujua ama kutokujua! Sababu Biblia inatuasa tuitafute kwanza amani na watu woote, naomba niwaombe mnisamehe pale nilipowakwaza ama kuwaumiza kwa namna moja ama nyingine!
Mkinisamehe naamini na sala zangu za shukrani zitapokelewa!
Niwashukuru mnoo, wanafamilia wangu wa jf kwa kuwa na mimi, mnanifanya nacheka hata nikiwa chumbani peke yangu! .
Dada Shunie pokea shukrani zangu!
Kutoka ndani ya sakafu ya moyo wangu, NAWAPENDA sana, yaaani sana!!
N.B: Zawadi napokea mwenyewe jamani kwa namba zile zile za voda![emoji7][emoji7][emoji8]
Thank you Don...
Be blessed
Hahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha tu nilienda kwenye harusi ya wachaga nikakaa sehemu ambapo wanakunywa vilevi vikali, kwa kunihurumia waliniambia ninywe bia sio soda..nikasema haikati dingii kwasababu heinken zilikuwepo ndo nikagonga hizo tatu ili nione unavyoisifia. Nashukuru tu sikupata ajali njiani ila zilinitoka jumapili saa 2 usiku
Nzuri,za sikunying nzuri piaSame here! Habari yako?? Za siku nyingi???