Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Nimecheka..
Eti wakakuhurumia unywe heineken..[emoji23]
Eti wakakuhurumia unywe heineken..[emoji23]
Wacha tu nilienda kwenye harusi ya wachaga nikakaa sehemu ambapo wanakunywa vilevi vikali, kwa kunihurumia waliniambia ninywe bia sio soda..nikasema haikati dingii kwasababu heinken zilikuwepo ndo nikagonga hizo tatu ili nione unavyoisifia. Nashukuru tu sikupata ajali njiani ila zilinitoka jumapili saa 2 usiku😀😀😀😀😀😀😎😎😎😎