Happy Birthday Sakayo

Happy Birthday Sakayo

Nimecheka..

Eti wakakuhurumia unywe heineken..[emoji23]
Wacha tu nilienda kwenye harusi ya wachaga nikakaa sehemu ambapo wanakunywa vilevi vikali, kwa kunihurumia waliniambia ninywe bia sio soda..nikasema haikati dingii kwasababu heinken zilikuwepo ndo nikagonga hizo tatu ili nione unavyoisifia. Nashukuru tu sikupata ajali njiani ila zilinitoka jumapili saa 2 usiku😀😀😀😀😀😀😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom