Hizo cake ndo wewe...!!!?anyway Heri ya KuzaliwaMungu ni mwaminifu mnoo!!!!
Tarehe na miezi ka ya leo miaka kadhaa ulopita alizaliwa binti mrembo, mpole kiasi, mwenye roho yake tulivu Shunie!!!!
Mungu azidi kukulinda mdogo wake mie, nakupenda na wewe unajua hilo.... Sina la kukulipa kwa wema wako tangu nkufahamu we mtoto!!!! Zaidi namuomba Mungu azidi kunitunzia mdogo wangu Mimi.... Mungu akupe kila lenye kheri akuondolee maradhi uwe na amani na furaha daima!!!!!
Furahia siku yako ya kuzaliwa my dear Shunie
Hongera mnoo kwa kuzidi kuusogelea uzee mdogo ake Sakayo!!!!!
Happy Birthday mamy....!!!!!!!!
Sakayo wangu [emoji8][emoji8][emoji8] niseme ninii mimi asante jf kwa kunipa rafiki mwema kwangu nakupenda zaidi ya jana na hata milele Yesu wetu azidi kukulinda na kukuweka [emoji120] mbona uzee umeshafikaMungu ni mwaminifu mnoo!!!!
Tarehe na miezi ka ya leo miaka kadhaa ulopita alizaliwa binti mrembo, mpole kiasi, mwenye roho yake tulivu Shunie!!!!
Mungu azidi kukulinda mdogo wake mie, nakupenda na wewe unajua hilo.... Sina la kukulipa kwa wema wako tangu nkufahamu we mtoto!!!! Zaidi namuomba Mungu azidi kunitunzia mdogo wangu Mimi.... Mungu akupe kila lenye kheri akuondolee maradhi uwe na amani na furaha daima!!!!!
Furahia siku yako ya kuzaliwa my dear Shunie
Hongera mnoo kwa kuzidi kuusogelea uzee mdogo ake Sakayo!!!!!
Happy Birthday mamy....!!!!!!!!
Asante mkuuHizo cake ndo wewe...!!!?anyway Heri ya Kuzaliwa
Asante mkuzi sasa mbona me sina churahappy birthday shunie ,nitunzie chura wangu
Nashkuru sanaHappy born day mdogo wake Sakayo
Thanks lovieHappy birthday shunie ake sakayo
Asante mwifa Mungu ni mwaminifu sanaHappy birthday Shunie mdau wangu wa Mapupu.
Ishi miaka mingi tule mapupu hadi basi!!