[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] asante udugu wangu nakupenda piadaaah japo nimechelewa kuona udugu wangu Mungu akupe maisha marefu love u shunie naja leo kukuletea keki[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Asante mkuuHappy birthday shunie
Kwani tuna aunt gani sieAunty yenu gani huyo!! Maana sijawahi kuyaona kwenye ukoo haya kabisa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa heri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
Naona unajisahaulisha aunt.... Au nkukumbushe!!!! Kuna mpaka ambao hawanijui wananiita Dume
AhahahhhhAvumilie tuu... Mtu mwenyewe anaona aibu kukuwish
Asante sana AmbieleMleta Mada Umeweka Picha Za Keki Tuu
Ingependeza Ungeweka Na Kapicha Kake Kenyewe Jaman
All in All Happy Birthday Mamii
Hahaha
Yaani wewe.... Nilikuwa nakusoma kule aki wewe na timu yako mmenishindaaaaaaa
Hahahaaaa!! Kumbe unasoma kimya kimya eeeeh!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NAWADHARAUYaani
Naogopa kuanikwa mieee
Hahaha
Yaani nyuzi za yule jamaa napitaga kushotooo.... Kutoleana mapovu akuu ndo siwezagi aunt!!!
Hahahaaaaa!! Ukitaka akupende wewe kila akiandika upuuzi wake wewe msifie tu. Ukimwambia ukweli ni kosa la jinai.
Hahaha
Mie acha tu nipite kushoto mwaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli, ila leo kapatikana watu washamchoka.
Me nilishasema nyuzi zake siingii kuna nilicomment tu kawaida kuwa kuwa huh uzi naudharau kuingia kumbe una mambo hivi nikaja kuquotiwa eti nina wivu jamanSio sisi tu auntie ni wengi tu, seka wengi huwa wanampuuza kama wewe unavyofanya.
Kunisingizia nasema mwisho mwaka huu, mwakani msinisingizie tena!!Kwani tuna aunt gani sie
Ameen baba paroko tunamiss uwepo wako jamanHappy birthday muumini wangu shunie, Mungu azidi kukupa maisha marefu na yenye hekima, busara na mafanikio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha
ACHA UNAFIKI WEWEEE.... UNA WIVU SAAANA NA...... NAKUDHARAUU[emoji108] [emoji108] [emoji108]