Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Amen[emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwehu wewe wahaya ndio wachoyo eenh ngoja wakuje wenye kabila lao
Ni wana kanda ya ziwa wezangu hivyo nawajua vizur sana aisee wachoyo kinoma

Hebu sasa nambie kwanini hujaniita tukate cake au uliogopa kuwa nitakuja fisi
 
Ni wana kanda ya ziwa wezangu hivyo nawajua vizur sana aisee wachoyo kinoma

Hebu sasa nambie kwanini hujaniita tukate cake au uliogopa kuwa nitakuja fisi
Beira baby huwa nakuogopa sana kuna siku ulimpiga mtu mkwara [emoji3][emoji3] mlikua mnatukanana sijui ukamwambia endelea atakipata anachokitaka hivi beira ni story tu kuhusu fisi au ni mambo za kweli
 
Beira baby huwa nakuogopa sana kuna siku ulimpiga mtu mkwara [emoji3][emoji3] mlikua mnatukanana sijui ukamwambia endelea atakipata anachokitaka hivi beira ni story tu kuhusu fisi au ni mambo za kweli
Hahahaaaaa usiogope bwana shunie kuwa na aman sema bibi alikuwa mtalamu sana wa hizo mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…